Created by: Mwl. Kubalyenda

WASIMA - SEMINA ELEKEZI JUU YA UTENGENEZAJI WA KITALU CHA MICHE YA MITI

Mwl. Kubalyenda akitoa ufafanuzi juu ya Malengo ya klabu ya mazingira shule ya sekondari Mamba na faida zitokanazo na kujiunga na klabu ya mazingira. tarehe 11 / 12 /2018




Mwakilishi kutoka WASIMA akitoa elimu juu ya utengenezaji wa mbolea 11 / 12 /2018
Mwanafunzi akitaja faida za upandaji miti 

Picha ya pamoja klabu ya mazingira shule ya sekondari mamba na wawakilishi kutoka WASIMA



No comments

Theme images by fpm. Powered by Blogger.